Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
Mlo shuleni wabadilisha maisha ya Dieudo na familia yake nchini DR Congo artwork
Government & Organizations

Mlo shuleni wabadilisha maisha ya Dieudo na familia yake nchini DR Congo

Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit)

Kwa watoto wengi, chakula shuleni si mlo tu, bali ni fursa ya kuhudhuria masomo, kujifunza na kuwa na matumaini ya kutimiza ndoto zao. Huko Kananga, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mwanafunzi Dieudo mwenye u...