Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
IAEA yaangazia hali ya nyuklia Syria, na wasiwasi kuhusu Iran na Ukraine artwork
Government & Organizations

IAEA yaangazia hali ya nyuklia Syria, na wasiwasi kuhusu Iran na Ukraine

Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit)

Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limesema maendeleo yamepatikana katika kutatua masuala yaliyosalia kuhusu ukaguzi wa nyuklia nchini Syria, huku wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ukiendelea kuwa...