
IAEA yaangazia hali ya nyuklia Syria, na wasiwasi kuhusu Iran na Ukraine
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limesema maendeleo yamepatikana katika kutatua masuala yaliyosalia kuhusu ukaguzi wa nyukl...
Radio and PodcastLive Radio & Podcasts
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limesema maendeleo yamepatikana katika kutatua masuala yaliyosalia kuhusu ukaguzi wa nyukl...

Kwa watoto wengi, chakula shuleni si mlo tu, bali ni fursa ya kuhudhuria masomo, kujifunza na kuwa na matumaini ya kutimiza ndoto zao. Huko...

Hii leo tunaangazia masuala ya mpango wa nyuklia mashariki ya kati, mlo shuleni nchini DR Congo, na ukosefu wa ajira kwa wanafunzi baada ya...

Duniani kote hivi sasa vijana wanapomaliza masomo hujikuta hawana cha kufanya kwani matarajio ya kupata ajira ili kuanza kujipatia kipato hu...

Miaka 25 baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001, yaliyotikisa Marekani na dunia nzima, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antóni...

Nchini Kenya, mradi wa kuboresha mbinu za kipato za wavuvi na kulinda mazingira unaotekelezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kupitia Kamis...

Zaidi ya wanafunzi milioni 171 duniani sawa na mwanafunzi mmoja kati ya kila kumi wa umri wa kusoma shule walikumbwa na usumbufu wa masomo k...

Hii leo tunaangazia miaka 25 baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001, elimu na athari za mabadiliko ya tabianchi, na mbinu za...

Mada kwa kina ambayo leo inamulika jinsi Umoja wa Mataifa ulivyobaini umuhimu wa kujumuisha harakati za kutokomeza mlipuko wa Ebola nchini J...

Kikosi cha 12 cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania kinachohudumu nchini Jamhuri ya Kidemkrasia Congo DRC chini ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa...

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuleteaShirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO linasema kuwa uv...

JP RWEE ni kifupi cha maneno ya lugha ya Kiingereza ambayo kwa lugha ya Kiswahili ni Mpango wa Pamoja wa Kuharakisha Hatua kuelekea Uwezesha...

Dunia iko katika mbio dhidi ya muda kuzuia ongezeko la joto duniani lisivuke nyuzi joto 1.5 Celsius. Lakini wanasayansi wanaonya kwamba kiwa...

Dunia iko katika mbio dhidi ya muda kuzuia ongezeko la joto duniani lisivuke nyuzi joto 1.5 Celsius. Lakini wanasayansi wanaonya kwamba kiwa...

Rwanda imepiga hatua kubwa katika kuweka mfumo wa kisheria unaohakikisha wanawake na wanaume wana haki sawa za kurithi. Hata hivyo, katika b...

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataofa hii leo Anold Kayanda anakuleteaIdadi ya vifo kufuatia mafuriko makubwa Nepal na Cina inaendelea...

Assumpta Massoi kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF nchini Burundi huko ukanda wa Maziwa Makuu barani A...

Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu