Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
Habari za UN cover
Government & Organizations

Habari za UN

UN Global Communications (Digital Solutions Unit)

Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Habari za UN Podcast Guide

Listen to Habari za UN, a Government & Organizations podcast by UN Global Communications (Digital Solutions Unit). Stream 200 episodes in Swahili, follow new audio stories, and play episodes online on Radio and Podcast.

Show Topic

Browse this show under Government & Organizations podcasts.

Episodes

20 episodes are loaded now from a catalog of 200. More episodes can be opened from this page.

Episodes

20 of 200 episodes

31 JULAI 2026

Hii leo tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya, katika Kijiji cha Embulbul kilichoko Kaunti ya Kajiado, ambako Shirika lisilo...

9:59Jul 31, 2026

30 JULAI 2026

Hii leo tunakuletea mada kwa kina. Mlipuko wa sasa wa ebola ya virusi vya Bundibugyo uliotangazwa rasmi huko DRC mwezi Mei mwaka huu unazidi...

9:59Jul 30, 2026

29 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunaangazia mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa UN, juhudi za mashirika mbalimbali za kuhamazisha wananchi DRC kuhusu u...

11:56Jul 29, 2026

28 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina Kuna msemo wa kiswahili usemao tahadhari kabla ya hatari na hivyo ndivyo ilivyo kwa ugonjwa wa Ho...

10:00Jul 28, 2026

27 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikiliza simulizi za wananchi...

10:36Jul 27, 2026

24 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP, nchini Tanzania kupitia mradi wake wa...

9:59Jul 24, 2026

23 JULAI 2026

Mada kwa kina hii inakupeleka Pwani ya Kenya katika Kaunti ya Kilifi ambako mradi wa ‘Tushauriane Tuimarishe Kilimo Biashara’ unaotekelezwa...

9:56Jul 23, 2026

22 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Huko DRC madini ya kimkakati mashariki mwa nchi yamekuwa kichocheo cha mizozo. Mgeni wetu leo pa...

9:53Jul 22, 2026

21 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Jana katika moja ya viunga vya jiji la Nairobi, wadau mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wa Umoja w...

11:09Jul 21, 2026

20 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs) yanatambua kuwa kuwawezesha vijana, kul...

9:59Jul 20, 2026

17 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina, leo tunamsikia Pauline Farini Kibuya wa shirika la Congo Notre Avenir yaani Congo Mustakabali We...

10:55Jul 17, 2026

16 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Ukanda wa Gaza ambako sitisho la mapigano kati ya Israeli na Palestina lililotiwa S...

9:56Jul 16, 2026

15 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya stadi kwa vijana tunamulika jinsi gani vijana waliojiendeleza...

9:59Jul 15, 2026

14 JULAI 2026

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkutano wa HLPF hapa makao makuu ya UN kumsikia Profesa Peter Wanderi Mwangi...

9:58Jul 14, 2026