Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
08 MEI 2026 artwork
Government & Organizations

08 MEI 2026

Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit)

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Kigoma nchini Tanzania tunamsikia Mwakilishi Mkazi wa FAO Tanzania Nyabenyi Tito Tipo ambaye alitembelea mkoa huo kuona hali ya utekelezaji na mgao wa vifaa vya ku...

About This Episode

08 MEI 2026 is an episode from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit). Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Kigoma nchini Tanzania tunamsikia Mwakilishi Mkazi wa FAO Tanzania Nyabenyi Tito Tipo...

Podcast

This episode belongs to Habari za UN.

Listen Online

Use the player on this page to stream the episode online.

Episode Details

Published May 8, 2026, 10:55 long, audio available.

Questions About This Episode

What is 08 MEI 2026 about?

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Kigoma nchini Tanzania tunamsikia Mwakilishi Mkazi wa FAO Tanzania Nyabenyi Tito Tipo ambaye alitembelea mkoa huo kuona hali ya utekelezaji na mgao wa vifaa vya kuimarisha sekta ya uvuvi. Pia tunakuletea muhtasari wa habariShirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO limesema Virusi ya Hanta havifanani na vya COVID na kwamba wanaelewa bado watu wana kumbukumbu mbichi za ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi msemaji wa WHO Christian Lindmeier amesema wanaendelea kuratibu na kufuatilia kwa karibu mlipuko wa ugonjwa huo uliotokea kwenye meli ya kifahari ya kitalii na kwamba “Hatari ni ndogo kabisa, hii si COVID mpya.”Matthew Hollingworth ambaye ni Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani (WFP) amerejea hii leo kutoka Somalia na kuwaeleza waaandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi yale aliyojionea akiwa ziarani nchini humo kwa wiki moja kuwa “ Nimeona familia ambazo zimeshuhudia madhara mengi kwa wakati mmoja ikiwemo athari za hali mbaya ya hewa, migogoro na shinikizo la kiuchumi, athari zote hizo zimekuwa zikisukuma njaa hadi katika viwango vya hatari .”Na, Wanawake na wasichana nchini Lebanon wanaendelea kuuawa, kujeruhiwa na kukimbia makazi yao licha ya makubaliano dhaifu ya usitishaji mapigano yaliyoanza kutekelezwa Aprili 17 mwaka huu, limeonya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake UN Women.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Where can I listen to 08 MEI 2026?

You can listen to 08 MEI 2026 online on Radio and Podcast. Open the player on this page to stream the available audio.

Which podcast is 08 MEI 2026 from?

08 MEI 2026 is an episode from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit).

How long is this episode?

This episode is 10:55 long.

When was this episode published?

This episode was published on May 8, 2026.

Can I save 08 MEI 2026 for later?

Yes. Use the heart button on the episode page to add it to your favorite episodes list.

Are there related episodes from Habari za UN?

Yes. This page shows related episodes from Habari za UN when more episodes are available from the podcast feed.

Quick Answers About This Episode

Where can I listen to 08 MEI 2026?

You can listen to 08 MEI 2026 on this page when the episode audio is available from the podcast feed.

Which podcast is this episode from?

08 MEI 2026 is from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit).

What are the episode details?

Published May 8, 2026 and 10:55 long