Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
06 MEI 2026 artwork
Government & Organizations

06 MEI 2026

Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit)

Hii leo jaridani tunaangazia maambukizi wa Hantavirus, juhudi za kutokomeza Adhabu za Viboko shuleni nchini Tanzania, na ujumbe wa Profesa Hamisi Masanja Malebo kuhusu haki za watu wa asili.Imethibitishwa kuwa abiria mwi...

About This Episode

06 MEI 2026 is an episode from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit). Hii leo jaridani tunaangazia maambukizi wa Hantavirus, juhudi za kutokomeza Adhabu za Viboko shuleni nchini Tanzania, na ujumbe wa Profesa Ham...

Podcast

This episode belongs to Habari za UN.

Listen Online

Use the player on this page to stream the episode online.

Episode Details

Published May 6, 2026, 9:59 long, audio available.

Questions About This Episode

What is 06 MEI 2026 about?

Hii leo jaridani tunaangazia maambukizi wa Hantavirus, juhudi za kutokomeza Adhabu za Viboko shuleni nchini Tanzania, na ujumbe wa Profesa Hamisi Masanja Malebo kuhusu haki za watu wa asili.Imethibitishwa kuwa abiria mwingine aliyekuwa kwenye meli ya kitalii iliyohusishwa na mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Hanta au Hantavirus ameambukizwa ugonjwa huo, ugonjwa ambao tayari umeua watu watatu waliokuwa ndani ya meli na kusababisha tahadhari ya kimataifa iliyoratibiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa.Siku ya Kimataifa ya Kukomesha Adhabu za Viboko huadhimishwa Aprili 30 ya kila mwaka, na mwaka huu katika maadhimisho ya siku hiyo wiki iliyopita, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto, UNICEF, nchini Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa haki za binadamu na elimu lilizindua kampeni iitwayo ‘No Collabo’ iliyolenga kukomesha adhabu ya viboko kwa mtindo ambao walimu zaidi ya mmoja humchapa mwanafunzi viboko kwa wakati mmoja. Rashid Malekela amezungumza na wazazi mkoani Mwanza Kaskazini Magharibi mwa nchini hiyo kupata maoni yao.Siku tano zilizopita Jukwaa la Kudumu la Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Watu wa Asili (UNPFII) limefunga pazia hapa katika makao ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani baada ya majadiliano ya takribani wiki mbili ya wadau kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuhusu sera, mafanikio na kukabiliana na changamoto mbalimbali katika kuhudumia wananchi wao ikiwemo jamii za watu wa asili. Kwa upande wa Tanzania, mmoja wa walioshiriki ni Katibu Mtendaji wa Tume ya shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO ya Taifa la Tanzania, Profesa Hamisi Masanja Malebo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Where can I listen to 06 MEI 2026?

You can listen to 06 MEI 2026 online on Radio and Podcast. Open the player on this page to stream the available audio.

Which podcast is 06 MEI 2026 from?

06 MEI 2026 is an episode from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit).

How long is this episode?

This episode is 9:59 long.

When was this episode published?

This episode was published on May 6, 2026.

Can I save 06 MEI 2026 for later?

Yes. Use the heart button on the episode page to add it to your favorite episodes list.

Are there related episodes from Habari za UN?

Yes. This page shows related episodes from Habari za UN when more episodes are available from the podcast feed.

Quick Answers About This Episode

Where can I listen to 06 MEI 2026?

You can listen to 06 MEI 2026 on this page when the episode audio is available from the podcast feed.

Which podcast is this episode from?

06 MEI 2026 is from Habari za UN by UN Global Communications (Digital Solutions Unit).

What are the episode details?

Published May 6, 2026 and 9:59 long