
Wanawake wa Imani - Vipindi sita vya kusikiliza
Vipindi vya wanawake wa Kikristo. Masungumso kuhusu mambo ya maisha. Vipindi vyote ni Kiswahili.
Radio and PodcastLive Radio & PodcastsOpening Radio and Podcast...

Radio and PodcastLive Radio & PodcastsFetching podcast shows and categories...
Radio and PodcastLive Radio & PodcastsFetching podcast episodes...

Vipindi vya wanawake wa Kikristo. Masungumso kuhusu mambo ya maisha. Vipindi vyote ni Kiswahili.

Vipindi vya wanawake wa Kikristo. Masungumso kuhusu mambo ya maisha. Vipindi vyote ni Kiswahili.

Katika kipindi hiki, Mama Neema (Inge-Marie Roager) anaongea kuhusu kupendwa na Mungu, na jinsi Mungu ana haja na sisi zote.

Mama Neema anasungumsia juu ya maada mgumu sana, na anakuambia kwamba Mungu anakupenda kwa sababu alikuumba.

Mama Neema anaongea kuhusu jinsi Yesu anatutafuta na maana yake ni nini, pamoja na kutuzimuliza hadithi.

Mama Neema hupitia historia ya Mwanamke Msamaria kutoka kwenye Biblia, na anazungumzia maana yake kwetu sisi wanawake wa leo.

Dorena Jakobo, “Mama Eliyah”, alilelewa katika familia ya kipangani, lakini alivutwa na mambo ya kanisani. Mama Neema anaongea na Dorena Jak...

Dorena Jakobo, "Mama Eliyah", ni mtoto mdogo katika familia yake na amekutana na vikwazo vingi maishani, hata hivyo, baba yake mzazi aliokok...