Radio and PodcastRadio and PodcastLive Radio & Podcasts
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kuhamasisha kuzuia visa vya watu kujiuwa. artwork
News & Politics

Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kuhamasisha kuzuia visa vya watu kujiuwa.

Habari RFI-Ki by France Médias Monde

Sep 10, 202600:09:54News & Politics

Shirika la afya duniani WHO linasema watu laki 7 na elfu 20 hujitoa uhai kila mwaka. Kujiua ni kati ya sababu tatu kuu ya vifo miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15–29.