
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kuhamasisha kuzuia visa vya watu kujiuwa.
Sep 10, 2026 - 00:09:54
Radio and PodcastLive Radio & Podcasts
Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.